sw_tn/jdg/11/12.md

414 B

Ni nini mgogoro huu kati yetu?

"Kwa nini kuna mgogoro kati yetu?" Yeftha anamuuliza mfalme kwa nini wana hasira na Israeli.

Kwa nini umekuja kwa nguvu kuchukua ardhi yetu?

"Kwa nini askari wako wamekuja kuchukua ardhi yetu"

umekuja kwa nguvu kuchukua

"kuja kuchukua kwa nguvu"

Arnoni ... Yaboki

Haya ni majina ya mito miwili.

mpaka Yordani

"Upande mwingine wa mto Yordani"

Kwa amani

"amani"