forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
414 B
Markdown
24 lines
414 B
Markdown
|
# Ni nini mgogoro huu kati yetu?
|
||
|
|
||
|
"Kwa nini kuna mgogoro kati yetu?" Yeftha anamuuliza mfalme kwa nini wana hasira na Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Kwa nini umekuja kwa nguvu kuchukua ardhi yetu?
|
||
|
|
||
|
"Kwa nini askari wako wamekuja kuchukua ardhi yetu"
|
||
|
|
||
|
# umekuja kwa nguvu kuchukua
|
||
|
|
||
|
"kuja kuchukua kwa nguvu"
|
||
|
|
||
|
# Arnoni ... Yaboki
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya mito miwili.
|
||
|
|
||
|
# mpaka Yordani
|
||
|
|
||
|
"Upande mwingine wa mto Yordani"
|
||
|
|
||
|
# Kwa amani
|
||
|
|
||
|
"amani"
|