sw_tn/jdg/11/09.md

372 B

msimamizi na mkuu

Maneno haya yana maana moja na yanasisitiza ni kwa namna gani Yeftha alikuwa wa muhimu.

Alipokuwa mbele ya Bwana huko Mizpa, Yeftha akarudia ahadi zote alizozifanya.

"mbele ya Bwana" inamaanisha kuwa alirudia ahadi zake kama kiapo mbele za Bwana.

ahadi zote alizozifanya

Hizi ni ahadi alizozitoa kwa viongozi wa Gileadi kwa kuwa kiongozi wao.