forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
372 B
Markdown
12 lines
372 B
Markdown
|
# msimamizi na mkuu
|
||
|
|
||
|
Maneno haya yana maana moja na yanasisitiza ni kwa namna gani Yeftha alikuwa wa muhimu.
|
||
|
|
||
|
# Alipokuwa mbele ya Bwana huko Mizpa, Yeftha akarudia ahadi zote alizozifanya.
|
||
|
|
||
|
"mbele ya Bwana" inamaanisha kuwa alirudia ahadi zake kama kiapo mbele za Bwana.
|
||
|
|
||
|
# ahadi zote alizozifanya
|
||
|
|
||
|
Hizi ni ahadi alizozitoa kwa viongozi wa Gileadi kwa kuwa kiongozi wao.
|