sw_tn/jdg/10/06.md

811 B

waliendelea kutenda maovu mbele za Bwana

"waliendelea kufanya mambo ambayo Bwana alisema ni uovu"

mbele za Bwana

"mbele za Bwana" inawakilisha kitu ambacho Bwana anakifikiria au kuwaza juu ya jambo fulani.

Maashtoreti

Huu ni wingi wa Ashtoreti aliyekuwa anaabudiwa kama mungu wa uongo kwa namna mbalimbali.

Wakamsahau Bwana na hawakamsujudia tena

"waliacha kabisa kumwabudu Bwana"

Wakamsahau Bwana

Kumtii na kumwabudu Bwana inazungumzwa kama kitendo cha watu kumwacha Bwana na kwenda mahali pengine.

Hasira ya Bwana ikawaka juu ya Israeli

Kitendo cha Bwana kuwa na hasira kinafananishwa na moto uwakao.

akawauza mikononi mwa Wafilisti na katika mikono ya wana wa Amoni

Bwana akaruhusu Wafilisti na Waamoni wawashinde Waisraeli.

mkononi mwa

"mkono" unawakilisha nguvu na utawala.