forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
811 B
Markdown
32 lines
811 B
Markdown
|
# waliendelea kutenda maovu mbele za Bwana
|
||
|
|
||
|
"waliendelea kufanya mambo ambayo Bwana alisema ni uovu"
|
||
|
|
||
|
# mbele za Bwana
|
||
|
|
||
|
"mbele za Bwana" inawakilisha kitu ambacho Bwana anakifikiria au kuwaza juu ya jambo fulani.
|
||
|
|
||
|
# Maashtoreti
|
||
|
|
||
|
Huu ni wingi wa Ashtoreti aliyekuwa anaabudiwa kama mungu wa uongo kwa namna mbalimbali.
|
||
|
|
||
|
# Wakamsahau Bwana na hawakamsujudia tena
|
||
|
|
||
|
"waliacha kabisa kumwabudu Bwana"
|
||
|
|
||
|
# Wakamsahau Bwana
|
||
|
|
||
|
Kumtii na kumwabudu Bwana inazungumzwa kama kitendo cha watu kumwacha Bwana na kwenda mahali pengine.
|
||
|
|
||
|
# Hasira ya Bwana ikawaka juu ya Israeli
|
||
|
|
||
|
Kitendo cha Bwana kuwa na hasira kinafananishwa na moto uwakao.
|
||
|
|
||
|
# akawauza mikononi mwa Wafilisti na katika mikono ya wana wa Amoni
|
||
|
|
||
|
Bwana akaruhusu Wafilisti na Waamoni wawashinde Waisraeli.
|
||
|
|
||
|
# mkononi mwa
|
||
|
|
||
|
"mkono" unawakilisha nguvu na utawala.
|