forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
606 B
Markdown
28 lines
606 B
Markdown
# Zebuli
|
|
|
|
Hili ni jina la mwanaume.
|
|
|
|
# Je, maneno yako ya kiburi yako wapi sasa?
|
|
|
|
"maneno" yanawakilisha kile alichosema. "kiburi chako kiko wapi sasa."
|
|
|
|
# wewe uliyesema, 'Abimeleki ni nani, ili tumtumikie?
|
|
|
|
Zebuli ananukuu swali la Gaali kwa Gaali mwenyewe. "wewe ndiye uliyesema kwamba tusimtumikie Abimeleki."
|
|
|
|
# Je, hao sio watu ambao uliwadharau?
|
|
|
|
Swali hili linaweza kuwekwa katika senytensi kama "Hawa ndo watu ambao uliwadharau"
|
|
|
|
# Aliwadharau
|
|
|
|
"aliwachukia" au "hakuwapenda"
|
|
|
|
# Gaali
|
|
|
|
Hili ni jina la mwanaume
|
|
|
|
# Na wengi wakaanguka na majeraha ya mauti
|
|
|
|
"na wengi wakafa kwa sababu ya majeraha"
|