sw_tn/jdg/09/38.md

606 B

Zebuli

Hili ni jina la mwanaume.

Je, maneno yako ya kiburi yako wapi sasa?

"maneno" yanawakilisha kile alichosema. "kiburi chako kiko wapi sasa."

wewe uliyesema, 'Abimeleki ni nani, ili tumtumikie?

Zebuli ananukuu swali la Gaali kwa Gaali mwenyewe. "wewe ndiye uliyesema kwamba tusimtumikie Abimeleki."

Je, hao sio watu ambao uliwadharau?

Swali hili linaweza kuwekwa katika senytensi kama "Hawa ndo watu ambao uliwadharau"

Aliwadharau

"aliwachukia" au "hakuwapenda"

Gaali

Hili ni jina la mwanaume

Na wengi wakaanguka na majeraha ya mauti

"na wengi wakafa kwa sababu ya majeraha"