forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
420 B
Markdown
20 lines
420 B
Markdown
# Gideoni akawaambia
|
|
|
|
"Gideoni akawaambia wana wa Israeli"
|
|
|
|
# Hereni
|
|
|
|
dhahabu inayovaliwa sikioni
|
|
|
|
# Nyara
|
|
|
|
Hivi ni vitu vilivyochukuliwa kwa nguvu au vilivyochukuliwa kwa watu waliokufa vitani.
|
|
|
|
# Wamidiani walikuwa na pete za dhahabu kwa sababu walikuwa Waishmaeli
|
|
|
|
Hapa msimuliaji anatuelezea historia ya Wamidiani.
|
|
|
|
# Vazi
|
|
|
|
Nguo kubwa inayotengenezwa kwa kipande kikubwa cha kitambaa na huvaliwa mabegani kama koti.
|