sw_tn/jdg/08/24.md

420 B

Gideoni akawaambia

"Gideoni akawaambia wana wa Israeli"

Hereni

dhahabu inayovaliwa sikioni

Nyara

Hivi ni vitu vilivyochukuliwa kwa nguvu au vilivyochukuliwa kwa watu waliokufa vitani.

Wamidiani walikuwa na pete za dhahabu kwa sababu walikuwa Waishmaeli

Hapa msimuliaji anatuelezea historia ya Wamidiani.

Vazi

Nguo kubwa inayotengenezwa kwa kipande kikubwa cha kitambaa na huvaliwa mabegani kama koti.