sw_tn/jdg/08/06.md

682 B

Je, mikono ya Zeba na Salmuna sasa ipo mikononi mwako?

Viongozi wanatumia swali kusisitiza kuwa Waisraeli bado hawajawakamata Zeba na Salmuna.

mikono ya Zeba na Salmuna

Hapa "mikono inamaanisha mwili mzima.

sasa ipo mikononi mwako

"mkono" inawakilisha nguvu na mamlaka.

Kwa nini tulipe jeshi lako mikate?

Viongozi wanatumia swali hili kusisitiza kuwa hawana sababu yoyote ya kuwapa mkate Waisraeli.

nitairarua ngozi yenu kwa miiba ya jangwani na michongoma.

Nitatengeneza mjeledi kwa kutumia miiba na michongoma ya jangwani na kuitumia kukupiga"

Miiba na michongoma

Vipande vyenye ncha kali vinavyokuwepo kwenye miti ambavyo vinaweza kuchoma watu au wanyama.