forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
682 B
Markdown
24 lines
682 B
Markdown
|
# Je, mikono ya Zeba na Salmuna sasa ipo mikononi mwako?
|
||
|
|
||
|
Viongozi wanatumia swali kusisitiza kuwa Waisraeli bado hawajawakamata Zeba na Salmuna.
|
||
|
|
||
|
# mikono ya Zeba na Salmuna
|
||
|
|
||
|
Hapa "mikono inamaanisha mwili mzima.
|
||
|
|
||
|
# sasa ipo mikononi mwako
|
||
|
|
||
|
"mkono" inawakilisha nguvu na mamlaka.
|
||
|
|
||
|
# Kwa nini tulipe jeshi lako mikate?
|
||
|
|
||
|
Viongozi wanatumia swali hili kusisitiza kuwa hawana sababu yoyote ya kuwapa mkate Waisraeli.
|
||
|
|
||
|
# nitairarua ngozi yenu kwa miiba ya jangwani na michongoma.
|
||
|
|
||
|
Nitatengeneza mjeledi kwa kutumia miiba na michongoma ya jangwani na kuitumia kukupiga"
|
||
|
|
||
|
# Miiba na michongoma
|
||
|
|
||
|
Vipande vyenye ncha kali vinavyokuwepo kwenye miti ambavyo vinaweza kuchoma watu au wanyama.
|