forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
745 B
Markdown
36 lines
745 B
Markdown
# Bwana akamtazama.
|
|
|
|
"Bwana akamtazama Gidioni"
|
|
|
|
# kutoka mkononi
|
|
|
|
"mkono inawakilisha nguvu au utawala.
|
|
|
|
# Mwa Midiani
|
|
|
|
"Midiani inawakilisha watu wa Midiani"
|
|
|
|
# Je, sikukutuma?
|
|
|
|
Bwana anatumia hili swali ili kumuhakikishia Gidioni kuwa amametuma. "kumtuma" inamaanisha kuwa Bwana amemchagua Gidioni kwa kazi maalumu.
|
|
|
|
# Tafadhali, Bwana
|
|
|
|
Gidioni sasa anamuita Bwana. Inaonesha kuwa inaonekana Gidioni anatambua au anahisi kwamba anazungumza na Bwana.
|
|
|
|
# Nawezaje kuwaokoa Israeli?
|
|
|
|
Gidioni aliuliza swali ili kusisitiza kuwa anafikiri hawezi kuwaokoa Waisraeli.
|
|
|
|
# Tazama
|
|
|
|
"tafadhali elewa" au "sikiliza"
|
|
|
|
# Katika Manase
|
|
|
|
"katika kabila la manase"
|
|
|
|
# Katika nyumba ya baba yangu
|
|
|
|
"nyumba" inawakilisha familia. "katika familia ya baba yangu"
|