forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
469 B
Markdown
28 lines
469 B
Markdown
# Ehudi
|
|
|
|
Hili ni jina la mwanaume.
|
|
|
|
# yaliyo mabaya machoni pa Bwana.
|
|
|
|
"machoni mwa Bwana" inawakilisha kitu ambacho Bwana anakifikiria au kuwaza juu ya jambo fulani
|
|
|
|
# Bwana akawatia mkononi mwa Yabini, mfalme wa Kanaani
|
|
|
|
Hapa "mkono" ina maanisha nguvu za Yabini juu ya Israeli.
|
|
|
|
# Yabini ... Sisera
|
|
|
|
Haya ni majina ya wanaume
|
|
|
|
# Hasori ... Harosheti
|
|
|
|
Haya ni majina ya miji au mahali.
|
|
|
|
# magari ya chuma mia tisa
|
|
|
|
"magari ya chuma 900"
|
|
|
|
# miaka ishirini
|
|
|
|
"miaka 20"
|