sw_tn/jdg/04/01.md

469 B

Ehudi

Hili ni jina la mwanaume.

yaliyo mabaya machoni pa Bwana.

"machoni mwa Bwana" inawakilisha kitu ambacho Bwana anakifikiria au kuwaza juu ya jambo fulani

Bwana akawatia mkononi mwa Yabini, mfalme wa Kanaani

Hapa "mkono" ina maanisha nguvu za Yabini juu ya Israeli.

Yabini ... Sisera

Haya ni majina ya wanaume

Hasori ... Harosheti

Haya ni majina ya miji au mahali.

magari ya chuma mia tisa

"magari ya chuma 900"

miaka ishirini

"miaka 20"