sw_tn/jdg/03/28.md

785 B

Maelezo ya jumla:

Ehudi anazungumza na watu wa Israeli huko Efraimu.

kwa kuwa Bwana atawashinda adui zenu

Bwana aliwasaidia Waisraeli kuwashinda adui zao kama vile Bwana ndiye shujaa anayepigana na kuwashinda adui zao.

wakakamata vivuko

"Wakamiliki vivuko"

Vivuko

Sehemu ya mto ambayo ni rahisi kupita kuwenda upande mwingine.

hawakuruhusu mtu yeyote kuvuka

"hawakuacha mtu yeyote avuke"

Watu elfu kumi

"watu 10,000"

Watu wenye uwezo

"watu wenye uwezo wa kupigana vizuri"

Moabu ilishindwa na nguvu ya Israeli

Hii inaweza kuanza "jeshi la Waisraeli liliwashinda Wamoabu"

Nguvu ya Israeli

Hapa "nguvu" inawakilisha jeshi la Israeli.

nchi ilikuwa na amani

Hapa "nchi" inawakilisha watu. "Waisraeli waliishi kwa amani"

Miaka themanini

"miaka 80"