forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
785 B
Markdown
44 lines
785 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Ehudi anazungumza na watu wa Israeli huko Efraimu.
|
||
|
|
||
|
# kwa kuwa Bwana atawashinda adui zenu
|
||
|
|
||
|
Bwana aliwasaidia Waisraeli kuwashinda adui zao kama vile Bwana ndiye shujaa anayepigana na kuwashinda adui zao.
|
||
|
|
||
|
# wakakamata vivuko
|
||
|
|
||
|
"Wakamiliki vivuko"
|
||
|
|
||
|
# Vivuko
|
||
|
|
||
|
Sehemu ya mto ambayo ni rahisi kupita kuwenda upande mwingine.
|
||
|
|
||
|
# hawakuruhusu mtu yeyote kuvuka
|
||
|
|
||
|
"hawakuacha mtu yeyote avuke"
|
||
|
|
||
|
# Watu elfu kumi
|
||
|
|
||
|
"watu 10,000"
|
||
|
|
||
|
# Watu wenye uwezo
|
||
|
|
||
|
"watu wenye uwezo wa kupigana vizuri"
|
||
|
|
||
|
# Moabu ilishindwa na nguvu ya Israeli
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuanza "jeshi la Waisraeli liliwashinda Wamoabu"
|
||
|
|
||
|
# Nguvu ya Israeli
|
||
|
|
||
|
Hapa "nguvu" inawakilisha jeshi la Israeli.
|
||
|
|
||
|
# nchi ilikuwa na amani
|
||
|
|
||
|
Hapa "nchi" inawakilisha watu. "Waisraeli waliishi kwa amani"
|
||
|
|
||
|
# Miaka themanini
|
||
|
|
||
|
"miaka 80"
|