sw_tn/jdg/03/15.md

16 lines
348 B
Markdown

# walipomwomba Bwana
Hii inamaanisha walipaza sauti kwa nguvu kwa mtu aliye mbali. pia inaweza kumaanisha mtu anaomba msaada hasa kwa Mungu.
# akamwinua mtu
Bwana akamchagua mtu kufanya kazi maalumu kwa ajili yake.
# Ehudi ... Gera
Haya ni majina ya wanaume.
# mtu shoto
shoto. Ehudi alikuwa na uwezo wa kutumia upanga kwa mkono wa kushoto.