sw_tn/jdg/03/15.md

348 B

walipomwomba Bwana

Hii inamaanisha walipaza sauti kwa nguvu kwa mtu aliye mbali. pia inaweza kumaanisha mtu anaomba msaada hasa kwa Mungu.

akamwinua mtu

Bwana akamchagua mtu kufanya kazi maalumu kwa ajili yake.

Ehudi ... Gera

Haya ni majina ya wanaume.

mtu shoto

shoto. Ehudi alikuwa na uwezo wa kutumia upanga kwa mkono wa kushoto.