forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
348 B
Markdown
16 lines
348 B
Markdown
|
# walipomwomba Bwana
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha walipaza sauti kwa nguvu kwa mtu aliye mbali. pia inaweza kumaanisha mtu anaomba msaada hasa kwa Mungu.
|
||
|
|
||
|
# akamwinua mtu
|
||
|
|
||
|
Bwana akamchagua mtu kufanya kazi maalumu kwa ajili yake.
|
||
|
|
||
|
# Ehudi ... Gera
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
||
|
|
||
|
# mtu shoto
|
||
|
|
||
|
shoto. Ehudi alikuwa na uwezo wa kutumia upanga kwa mkono wa kushoto.
|