sw_tn/jdg/03/07.md

751 B

yaliyo mabaya machoni pa Bwana

"machoni mwa Bwana" inawakilisha kitu ambacho Bwana anakifikiria au kuwaza juu ya jambo fulani.

wakamsahau Bwana, Mungu wao

"kumsahau" ni fumbo lenyhe maana ya "waliacha kumtii"

hasira ya Bwana ikawaka

Bwana kuwa na hasira inafananishwa na kitu ambacho kinaweza kuwaka moto. "Bwana akakasirika sana"

akawauza mkononi mwa Kushan-rishathaimu

Akaruhusu wana wa Israeli kutekwa inazungumzwa kama vile Bwana amewauza kwa Kushan-rishathaimu. "Akaruhusu Kushan-rishathaimu na jeshi lake kuwashinda"

mkononi mwa Kushan-rishathaimu

"mkono" ina maanisha nguvu ya kutawala. pia Kushan-rishathaimu inawakilisha jeshi lake.

Kushan-rishathaimu

Hili ni jina la mwanaume.

Aram Naharaimu

Hili ni jina la nchi.