forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
751 B
Markdown
28 lines
751 B
Markdown
|
# yaliyo mabaya machoni pa Bwana
|
||
|
|
||
|
"machoni mwa Bwana" inawakilisha kitu ambacho Bwana anakifikiria au kuwaza juu ya jambo fulani.
|
||
|
|
||
|
# wakamsahau Bwana, Mungu wao
|
||
|
|
||
|
"kumsahau" ni fumbo lenyhe maana ya "waliacha kumtii"
|
||
|
|
||
|
# hasira ya Bwana ikawaka
|
||
|
|
||
|
Bwana kuwa na hasira inafananishwa na kitu ambacho kinaweza kuwaka moto. "Bwana akakasirika sana"
|
||
|
|
||
|
# akawauza mkononi mwa Kushan-rishathaimu
|
||
|
|
||
|
Akaruhusu wana wa Israeli kutekwa inazungumzwa kama vile Bwana amewauza kwa Kushan-rishathaimu. "Akaruhusu Kushan-rishathaimu na jeshi lake kuwashinda"
|
||
|
|
||
|
# mkononi mwa Kushan-rishathaimu
|
||
|
|
||
|
"mkono" ina maanisha nguvu ya kutawala. pia Kushan-rishathaimu inawakilisha jeshi lake.
|
||
|
|
||
|
# Kushan-rishathaimu
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanaume.
|
||
|
|
||
|
# Aram Naharaimu
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la nchi.
|