sw_tn/jdg/03/01.md

697 B

Sasa Bwana

"sasa" inaonesha mwanzo wa simulizi.

Mataifa haya

Hili ni kundi la watu wanaozungumzwa katika 3:3.

ambaye hakushiriki vita yoyote huko Kanaani

Inaweza kuanza kama "ambaye hakupigana vita yoyote huko Kanaani.

Alifanya hivyo ili kuwafundisha vita kizazi kipya cha Waisraeli ambao hawakujua kabla

Msimuliaji anatoa taarifa kwanini Bwana aliwaacha baadhi ya watu Kanaani. "Bwana aliyaacha mataifa kati ya Israeli ili awafundishe vijana ambao hawakupigana vita"

Wafalme watano

Wafalme hawa watano wanawakilisha watu wao. "wafalme watano na watu wao"

Mlima Baali Hermoni

Huu ni mlima mrefu sana Israeli.

Hamathi

Hili ni jina la eneo kaskazini mwa mpaka wa Kanaani.