forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
697 B
Markdown
28 lines
697 B
Markdown
|
# Sasa Bwana
|
||
|
|
||
|
"sasa" inaonesha mwanzo wa simulizi.
|
||
|
|
||
|
# Mataifa haya
|
||
|
|
||
|
Hili ni kundi la watu wanaozungumzwa katika 3:3.
|
||
|
|
||
|
# ambaye hakushiriki vita yoyote huko Kanaani
|
||
|
|
||
|
Inaweza kuanza kama "ambaye hakupigana vita yoyote huko Kanaani.
|
||
|
|
||
|
# Alifanya hivyo ili kuwafundisha vita kizazi kipya cha Waisraeli ambao hawakujua kabla
|
||
|
|
||
|
Msimuliaji anatoa taarifa kwanini Bwana aliwaacha baadhi ya watu Kanaani. "Bwana aliyaacha mataifa kati ya Israeli ili awafundishe vijana ambao hawakupigana vita"
|
||
|
|
||
|
# Wafalme watano
|
||
|
|
||
|
Wafalme hawa watano wanawakilisha watu wao. "wafalme watano na watu wao"
|
||
|
|
||
|
# Mlima Baali Hermoni
|
||
|
|
||
|
Huu ni mlima mrefu sana Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Hamathi
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la eneo kaskazini mwa mpaka wa Kanaani.
|