forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
569 B
Markdown
24 lines
569 B
Markdown
# Ndipo Bwana akawainua waamuzi
|
|
|
|
Bwana aliwachagua watu kuwa waamuzi akawainua.
|
|
|
|
# katika mikono ya wale
|
|
|
|
"mikono" ni nguvu. "Toka kwenye nguvu za adui zao"
|
|
|
|
# Hawakuwasikiliza waamuzi wao
|
|
|
|
"hawakuwatii waamuzi wao"
|
|
|
|
# wakajitoa wenyewe kama makahaba kwa miungu mingine na kuabudu
|
|
|
|
Watu kumsaliti Mungu na kuiabudu miungu mingine wanafananishwa na makahaba. "walimsaliti kwa kuiabudu miungu ya uongo"
|
|
|
|
# Waligeuka upesi na kuiacha njia waliyoishi baba zao
|
|
|
|
Watu hawakufanya kama vile babu zao walivyomuabudu Bwana, waligeukia upande mwingine.
|
|
|
|
# Baba zao
|
|
|
|
"mababu zao"
|