sw_tn/jdg/02/16.md

569 B

Ndipo Bwana akawainua waamuzi

Bwana aliwachagua watu kuwa waamuzi akawainua.

katika mikono ya wale

"mikono" ni nguvu. "Toka kwenye nguvu za adui zao"

Hawakuwasikiliza waamuzi wao

"hawakuwatii waamuzi wao"

wakajitoa wenyewe kama makahaba kwa miungu mingine na kuabudu

Watu kumsaliti Mungu na kuiabudu miungu mingine wanafananishwa na makahaba. "walimsaliti kwa kuiabudu miungu ya uongo"

Waligeuka upesi na kuiacha njia waliyoishi baba zao

Watu hawakufanya kama vile babu zao walivyomuabudu Bwana, waligeukia upande mwingine.

Baba zao

"mababu zao"