forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
631 B
Markdown
32 lines
631 B
Markdown
# Mkwe wake na Musa
|
|
|
|
"mkwe" "baba yake na mke wa musa"
|
|
|
|
# Mkeeni, mkwe alikwenda
|
|
|
|
"mkwe ambaye alikuwa ni moja ya watu wa Keeni, alikwenda"
|
|
|
|
# walikwenda kutoka mji wa Mitende ... mpaka jangwa
|
|
|
|
"aliondoka kwenye mji wa mitende ... akaenda jangwani"
|
|
|
|
# Mji wa mitende
|
|
|
|
Hili ni jina lingine la mji wa Yeriko
|
|
|
|
# Arad
|
|
|
|
Hili ni jina la mji wa Kanaani
|
|
|
|
# wana wa Simeoni ndugu zao
|
|
|
|
"ndugu" hii inamaanisha ndugu waliopo katika kabila lingine la Israeli.
|
|
|
|
# Zefathi
|
|
|
|
Hili ni jina la mji wa Kanaani
|
|
|
|
# Mji uliitwa Horma
|
|
|
|
Baada ya Israeli kuiharibu Zefathi, walibadilisha jina na kupaita Horma. Jina Horma lina maana ya "uharibifu kamili."
|