forked from WA-Catalog/sw_tn
631 B
631 B
Mkwe wake na Musa
"mkwe" "baba yake na mke wa musa"
Mkeeni, mkwe alikwenda
"mkwe ambaye alikuwa ni moja ya watu wa Keeni, alikwenda"
walikwenda kutoka mji wa Mitende ... mpaka jangwa
"aliondoka kwenye mji wa mitende ... akaenda jangwani"
Mji wa mitende
Hili ni jina lingine la mji wa Yeriko
Arad
Hili ni jina la mji wa Kanaani
wana wa Simeoni ndugu zao
"ndugu" hii inamaanisha ndugu waliopo katika kabila lingine la Israeli.
Zefathi
Hili ni jina la mji wa Kanaani
Mji uliitwa Horma
Baada ya Israeli kuiharibu Zefathi, walibadilisha jina na kupaita Horma. Jina Horma lina maana ya "uharibifu kamili."