sw_tn/jdg/01/16.md

631 B

Mkwe wake na Musa

"mkwe" "baba yake na mke wa musa"

Mkeeni, mkwe alikwenda

"mkwe ambaye alikuwa ni moja ya watu wa Keeni, alikwenda"

walikwenda kutoka mji wa Mitende ... mpaka jangwa

"aliondoka kwenye mji wa mitende ... akaenda jangwani"

Mji wa mitende

Hili ni jina lingine la mji wa Yeriko

Arad

Hili ni jina la mji wa Kanaani

wana wa Simeoni ndugu zao

"ndugu" hii inamaanisha ndugu waliopo katika kabila lingine la Israeli.

Zefathi

Hili ni jina la mji wa Kanaani

Mji uliitwa Horma

Baada ya Israeli kuiharibu Zefathi, walibadilisha jina na kupaita Horma. Jina Horma lina maana ya "uharibifu kamili."