forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
563 B
Markdown
24 lines
563 B
Markdown
# Kwa kuwa yeyote atiiye
|
|
|
|
"Yeyoye anayetii"
|
|
|
|
# bado akajikwaa ... sheria yote
|
|
|
|
Kujikwaa ni kuanguka chini wakati mtu anatembea. kutotii sheria ni sawa na kujikwaa wakati wa kutembea.
|
|
|
|
# katika nukta moja
|
|
|
|
kwa sababu ya kutotii kwa sheria moja tuu
|
|
|
|
# Kwa kuwa Mungu aliyesema
|
|
|
|
Hii inamuelezea Mungu aliyempa sheria Musa.
|
|
|
|
# usifanye
|
|
|
|
"kufanya" ni kuchukua hatua
|
|
|
|
# Kama ninyi .... lakini una ... ume
|
|
|
|
"ninyi" inamaanisha "kati yenu" Japokuwa Yakobo aliwaandikia waamini wengi wa Kiyahudi kwenye sehemu hii ametumia umoja kama vile alikuwa amzungumzia mtu mmoja.
|