sw_tn/jas/02/10.md

563 B

Kwa kuwa yeyote atiiye

"Yeyoye anayetii"

bado akajikwaa ... sheria yote

Kujikwaa ni kuanguka chini wakati mtu anatembea. kutotii sheria ni sawa na kujikwaa wakati wa kutembea.

katika nukta moja

kwa sababu ya kutotii kwa sheria moja tuu

Kwa kuwa Mungu aliyesema

Hii inamuelezea Mungu aliyempa sheria Musa.

usifanye

"kufanya" ni kuchukua hatua

Kama ninyi .... lakini una ... ume

"ninyi" inamaanisha "kati yenu" Japokuwa Yakobo aliwaandikia waamini wengi wa Kiyahudi kwenye sehemu hii ametumia umoja kama vile alikuwa amzungumzia mtu mmoja.