forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
325 B
Markdown
12 lines
325 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
|
|
|
|
# Nitakufanya uendeshe katika vilele vya dunia
|
|
|
|
Hii ina maana ya Mungu kunua taifa katika sifa na nguvu kwa mwitikio wa kuishi katika haki.
|
|
|
|
# kwa maana kinywa cha Yahwe kimenena
|
|
|
|
"kinywa" inaashiria kile ambacho Yahwe anasema. "Kwa maana Yahwe amekisema"
|