sw_tn/isa/58/14.md

325 B

Maelezo ya Jumla

Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.

Nitakufanya uendeshe katika vilele vya dunia

Hii ina maana ya Mungu kunua taifa katika sifa na nguvu kwa mwitikio wa kuishi katika haki.

kwa maana kinywa cha Yahwe kimenena

"kinywa" inaashiria kile ambacho Yahwe anasema. "Kwa maana Yahwe amekisema"