forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
573 B
Markdown
20 lines
573 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kuzungumza.
|
|
|
|
# njia zake
|
|
|
|
"njia zao". Hapa "zake" ina maana ya watu wa Israeli.
|
|
|
|
# fariji na tuliza wale ambao wanaomboleza kwa ajili yake
|
|
|
|
"Nitabembeleza na kutuliza wale ambao wanahisi huzuni kwa ajili ya mateso ya watu kwa sababu ya tabia yao ya dhambi"
|
|
|
|
# na ninatengeneza matunda ya midomo
|
|
|
|
Hapa "matunda ya midomo" ina maana ya kile mtu anachosema. "na ninasababisha wao wanisifu na kunishukuru"
|
|
|
|
# Amani, amani, kwa wale ambao wapo mbali sana
|
|
|
|
"Nimefanya amani pamoja nao ambao wako mbali" Neno "Amani" linarudiwa kwa msisitizo.
|