forked from WA-Catalog/sw_tn
573 B
573 B
Maelezo ya Jumla
Yahwe anaendelea kuzungumza.
njia zake
"njia zao". Hapa "zake" ina maana ya watu wa Israeli.
fariji na tuliza wale ambao wanaomboleza kwa ajili yake
"Nitabembeleza na kutuliza wale ambao wanahisi huzuni kwa ajili ya mateso ya watu kwa sababu ya tabia yao ya dhambi"
na ninatengeneza matunda ya midomo
Hapa "matunda ya midomo" ina maana ya kile mtu anachosema. "na ninasababisha wao wanisifu na kunishukuru"
Amani, amani, kwa wale ambao wapo mbali sana
"Nimefanya amani pamoja nao ambao wako mbali" Neno "Amani" linarudiwa kwa msisitizo.