sw_tn/isa/42/16.md

642 B

Taarifa ya Jumla

Yahwe anaendelea kuzungumza.

Nitawaleta vipofu kwa njia ambayo hawajui; katika njia ambayo hawaijui nitawaongoza

Misemo hii miwili ina maana moja. "Nitawaongoza vipofu katika njia ambayo hawajui"

vipofu

Yahwe anazungumzia watu wake kutojiweza kana kwamba hawawezi kuona kwa sababu walikuwa vipofu.

ambayo hawaijui

Maana zaweza kuwa 1) "ya kwamba hawajawahi kusafiri" au 2) "ambayo hawana uzoefu nao"

Nitageuza giza kuwa nurur mbele yao

Yahwe anazungumzia watu wake kutojiweza kana kwamba hawakweza kuona kwa sababu walitembea gizani, na kusaidia kwake kana kwamba alisababisha mwanga kung'ara katika giza.