forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
642 B
Markdown
20 lines
642 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kuzungumza.
|
||
|
|
||
|
# Nitawaleta vipofu kwa njia ambayo hawajui; katika njia ambayo hawaijui nitawaongoza
|
||
|
|
||
|
Misemo hii miwili ina maana moja. "Nitawaongoza vipofu katika njia ambayo hawajui"
|
||
|
|
||
|
# vipofu
|
||
|
|
||
|
Yahwe anazungumzia watu wake kutojiweza kana kwamba hawawezi kuona kwa sababu walikuwa vipofu.
|
||
|
|
||
|
# ambayo hawaijui
|
||
|
|
||
|
Maana zaweza kuwa 1) "ya kwamba hawajawahi kusafiri" au 2) "ambayo hawana uzoefu nao"
|
||
|
|
||
|
# Nitageuza giza kuwa nurur mbele yao
|
||
|
|
||
|
Yahwe anazungumzia watu wake kutojiweza kana kwamba hawakweza kuona kwa sababu walitembea gizani, na kusaidia kwake kana kwamba alisababisha mwanga kung'ara katika giza.
|