forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
935 B
Markdown
24 lines
935 B
Markdown
# Kamba zako ni goigoi; haziwezi kushikilia mlingoti mkuu katika sehemu yake; hawawezi kulitandaza tanga
|
|
|
|
Maana zaweza kuwa 1) jeshi la Ashuru ni kama mtumbwi ambao hauwezi kusogea katikati ya maji: kamba ambazo hushikilia mlingoti mkuu na tanga zimekuwa legevu na hazishiki tena mlingoti mkuu, kwa hiyo tanga halina faida (33:1) au 2) watu wa Yuda hawapo vitani tena. "Umelegeza kamba ambazo zilishikilia nguzo zako za bender; bendera haipepei tena"
|
|
|
|
# mlingoti mkuu
|
|
|
|
nguzo ndefu ambazo hushikilia tanga
|
|
|
|
# tanga
|
|
|
|
kitambaa kikubwa ambacho hujazwa na upepo na kusogeza mtumbwi katikati ya maji
|
|
|
|
# mali kubwa iliyoibiiwa itakapogawanywa
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "watakapogawanya hazina"
|
|
|
|
# vilema
|
|
|
|
Hii ina maana ya watu ambao hawawezi kutembea. "wale ambao ni vilema"
|
|
|
|
# watu wanaoishi pale watasamehewa kwa udhalimu wao
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Yahwe atasamehe dhambi za watu wanaoishi pale"
|