sw_tn/isa/33/23.md

935 B

Kamba zako ni goigoi; haziwezi kushikilia mlingoti mkuu katika sehemu yake; hawawezi kulitandaza tanga

Maana zaweza kuwa 1) jeshi la Ashuru ni kama mtumbwi ambao hauwezi kusogea katikati ya maji: kamba ambazo hushikilia mlingoti mkuu na tanga zimekuwa legevu na hazishiki tena mlingoti mkuu, kwa hiyo tanga halina faida (33:1) au 2) watu wa Yuda hawapo vitani tena. "Umelegeza kamba ambazo zilishikilia nguzo zako za bender; bendera haipepei tena"

mlingoti mkuu

nguzo ndefu ambazo hushikilia tanga

tanga

kitambaa kikubwa ambacho hujazwa na upepo na kusogeza mtumbwi katikati ya maji

mali kubwa iliyoibiiwa itakapogawanywa

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "watakapogawanya hazina"

vilema

Hii ina maana ya watu ambao hawawezi kutembea. "wale ambao ni vilema"

watu wanaoishi pale watasamehewa kwa udhalimu wao

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Yahwe atasamehe dhambi za watu wanaoishi pale"