forked from WA-Catalog/sw_tn
935 B
935 B
Kamba zako ni goigoi; haziwezi kushikilia mlingoti mkuu katika sehemu yake; hawawezi kulitandaza tanga
Maana zaweza kuwa 1) jeshi la Ashuru ni kama mtumbwi ambao hauwezi kusogea katikati ya maji: kamba ambazo hushikilia mlingoti mkuu na tanga zimekuwa legevu na hazishiki tena mlingoti mkuu, kwa hiyo tanga halina faida (33:1) au 2) watu wa Yuda hawapo vitani tena. "Umelegeza kamba ambazo zilishikilia nguzo zako za bender; bendera haipepei tena"
mlingoti mkuu
nguzo ndefu ambazo hushikilia tanga
tanga
kitambaa kikubwa ambacho hujazwa na upepo na kusogeza mtumbwi katikati ya maji
mali kubwa iliyoibiiwa itakapogawanywa
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "watakapogawanya hazina"
vilema
Hii ina maana ya watu ambao hawawezi kutembea. "wale ambao ni vilema"
watu wanaoishi pale watasamehewa kwa udhalimu wao
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Yahwe atasamehe dhambi za watu wanaoishi pale"