forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
800 B
Markdown
28 lines
800 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla
|
|
|
|
Isaya anafafanua jinsi Yahwe ataangamiza watu wa Yuda.
|
|
|
|
# Ativunja
|
|
|
|
Hapa "ataivunja" ina maana ya sehemu ya ukuta ambayo inakaribia kuanguka. Sehemu katika ukuta ni sitiari ambayo inawakilisha watu wa Yuda na dhambi yao iliyotajwa katika 30:12
|
|
|
|
# kama chombo cha mfinyanzi kinavyovunjwa
|
|
|
|
Tashbihi hii ina maana ya kwamba kipande cha ukuta kitavunjika haraka na kikamilifu kama jagi la udongo linapoanguka chini.
|
|
|
|
# mfinyanzi
|
|
|
|
Mfinyanzi ni mtu ambaye hutengeneza vyungu na majagi kwa udongo.
|
|
|
|
# hakutapatikana
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "hakuna mtu ataweza kupata" au "hapatakuwa"
|
|
|
|
# kigae ambacho kitatumika kukwangua
|
|
|
|
"kigae kikubwa ya kutosha kukwangua"
|
|
|
|
# moto kutoka katika meko
|
|
|
|
Neno "moto" hapa lina maana ya majivu. "majivu kutoka katika sehemu ya moto"
|