forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
1.3 KiB
Markdown
36 lines
1.3 KiB
Markdown
# Kauli Kiunganishi
|
|
|
|
Hii inaendelea kuzungumza kuhusu watu wa Israeli kana kwamba walikuwa shamba la mizabibu.
|
|
|
|
# Sina hasira, Oh, hata kuwe na mibigili na miiba! Katika vita nitatembea dhidi yao
|
|
|
|
"Sina hasira. Kama kulikuwa na mibigili na miiba ningetembea dhidi yao katika vita"
|
|
|
|
# Sina hasira
|
|
|
|
Inaeleweka ya kwamba Yahwe hana hasira na watu wake tena. "Sina hasira na watu wangu tena"
|
|
|
|
# hata kuwe na mibigili na miiba
|
|
|
|
Adui za watu wa Israeli wanazungumziwa kana kwamba walikuwa mibigili na miiba inayoota katika shamba la mizabibu.
|
|
|
|
# mibigili na miiba
|
|
|
|
Mibigili na miiba hutumika mara kwa mara kama alama ya miji na nchi zilizoharibiwa
|
|
|
|
# Katika vita nitatembea dhidi yao
|
|
|
|
Yahwe kupigana na adui zake inazungumziwa kana kwamba alikuwa mwanajeshi katika jeshi.
|
|
|
|
# Ningetembea dhidi yao; Ningewachoma wote kwa pamoja
|
|
|
|
Hapa Isaya anaunganisha picha tofauti kuzungumzia maadui wa Yahwe. Anazungumza juu yao kana kwamba walikuwa mibigili na miiba lakini pia kama wanajeshi katika jeshi.
|
|
|
|
# isipokuwa washike ulinzi wangu
|
|
|
|
Hii inaweza kuandikwa upya ili kwamba nomino dhahania "ulinzi" ielezwe kama kitenzi "kulinda". "Isipokuwa waniulize kuwalinda wao"
|
|
|
|
# na kufanya amani pamoja na mimi; waache wafanya amani pamoja na mimi
|
|
|
|
"na waombe kuishi kwa amani pamoja nami; ninataka waishi kwa amani pamoja nami"
|