sw_tn/isa/03/16.md

603 B

binti wa Sayuni

Sayuni, ina maana hapa mji wa Yerusalemu, anazungumzia kana kwamba ilikuwa mwanamke na binti zake. "wanawake wa Sayuni"

na vichwa vyao vikiwa juu

Hii ina maana kwa namna ya majivuno.

onyesha mapenzi kwa macho yao

Hapa "macho yao" yanawakilisha jinsi wanawaka wanavyowatazama. "wakijaribu kuwafurahisha wanamume kwa namna wanavyowatazama"

kutembea kwa maringo huku wakienda

"kuchukua hatua ndogo sana wanapotembea"

na kutoa mlio kama njuga kwa miguu yao

"kwa hiyo bangili katika vifundo vya miguu yao" au "kwa hiyo kengele katika vifundo vya miguu yao zilipiga kelele"