forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
603 B
Markdown
20 lines
603 B
Markdown
|
# binti wa Sayuni
|
||
|
|
||
|
Sayuni, ina maana hapa mji wa Yerusalemu, anazungumzia kana kwamba ilikuwa mwanamke na binti zake. "wanawake wa Sayuni"
|
||
|
|
||
|
# na vichwa vyao vikiwa juu
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana kwa namna ya majivuno.
|
||
|
|
||
|
# onyesha mapenzi kwa macho yao
|
||
|
|
||
|
Hapa "macho yao" yanawakilisha jinsi wanawaka wanavyowatazama. "wakijaribu kuwafurahisha wanamume kwa namna wanavyowatazama"
|
||
|
|
||
|
# kutembea kwa maringo huku wakienda
|
||
|
|
||
|
"kuchukua hatua ndogo sana wanapotembea"
|
||
|
|
||
|
# na kutoa mlio kama njuga kwa miguu yao
|
||
|
|
||
|
"kwa hiyo bangili katika vifundo vya miguu yao" au "kwa hiyo kengele katika vifundo vya miguu yao zilipiga kelele"
|