forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
554 B
Markdown
16 lines
554 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla
|
|
|
|
Isaya anazungumza maneno ya Yahwe kwa watu wa Yuda katika mtindo wa shairi.
|
|
|
|
# Miti ya mwaloni mitakatifu ... bustani
|
|
|
|
Misemo hii ina maana ya sehemu ambapo watu wa Yuda waliabudu sanamu.
|
|
|
|
# utaaibika kwa
|
|
|
|
Baadhi ya tafsiri husema, "utaona aibu kwa sababu ya". Mtu huona aibu uso wake unapochemka, mara kwa mara kwa sababu anahisi amefanya kitu kibaya.
|
|
|
|
# Kwa maana utakuwa kama mwaloni ambao majani hufifia, na kama bustani ambayo haina maji
|
|
|
|
Maji hutoa uhai kwa miti na bustani. Watu wamejikata kutoka kwa Yahwe, ambaye hutoa uhai.
|