sw_tn/hos/13/04.md

391 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anawazungumzia watu wake kama kundi la kondoo linalotangatanga jangwani.

Nilikujua jangwani

Bwana anasema kuwa Waebrania ni watu wake wa pekee na anawajali.

Wakati ulipokuwa na malisho, ulishiba

Sura ya kondoo inaendelea kuelezewa.

moyo wako ukainuliwa

"moyo" unawakilisha utu wa ndani wa mtu.

ukainuliwa

Kuwa na kiburi inazungumzwa kama kujiinua.