forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
391 B
Markdown
20 lines
391 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Bwana anawazungumzia watu wake kama kundi la kondoo linalotangatanga jangwani.
|
||
|
|
||
|
# Nilikujua jangwani
|
||
|
|
||
|
Bwana anasema kuwa Waebrania ni watu wake wa pekee na anawajali.
|
||
|
|
||
|
# Wakati ulipokuwa na malisho, ulishiba
|
||
|
|
||
|
Sura ya kondoo inaendelea kuelezewa.
|
||
|
|
||
|
# moyo wako ukainuliwa
|
||
|
|
||
|
"moyo" unawakilisha utu wa ndani wa mtu.
|
||
|
|
||
|
# ukainuliwa
|
||
|
|
||
|
Kuwa na kiburi inazungumzwa kama kujiinua.
|