forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
414 B
Markdown
20 lines
414 B
Markdown
# Taarifa ya jumla:
|
|
|
|
Bwana anazungumza na Hosea kuhusu namna atakavyowafanyia Israeli.
|
|
|
|
# Nitakuwa mume wako milele
|
|
|
|
Bwana atakuwa kama mume na Israeli atakuwa kama mke wa Bwana.
|
|
|
|
# Nitakuwa mume wako kwa uaminifu
|
|
|
|
Bwana atakuwa mwaminifu kwa agano lake kwa Israeli.
|
|
|
|
# mume kwa uaminifu
|
|
|
|
"mume mwaminifu"
|
|
|
|
# Nawe utanijua mimi, Bwana
|
|
|
|
Hapa "kuniju" inamaanisha kumtambua Bwana kama Mungu na kuwa mwaminifu kwake.
|