sw_tn/hos/02/19.md

414 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza na Hosea kuhusu namna atakavyowafanyia Israeli.

Nitakuwa mume wako milele

Bwana atakuwa kama mume na Israeli atakuwa kama mke wa Bwana.

Nitakuwa mume wako kwa uaminifu

Bwana atakuwa mwaminifu kwa agano lake kwa Israeli.

mume kwa uaminifu

"mume mwaminifu"

Nawe utanijua mimi, Bwana

Hapa "kuniju" inamaanisha kumtambua Bwana kama Mungu na kuwa mwaminifu kwake.