forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
748 B
Markdown
24 lines
748 B
Markdown
# Sasa
|
|
|
|
Hii ni sehemu ya mpya ya barua. Mwandishi hapa anamsifu Mungu na anatoa maombi ya mwisho kwa wasomaji wake.
|
|
|
|
# mchungaji mkuu wa kondoo
|
|
|
|
Kristo katika jukumu lake la kiongozi na mlinzi wa wale wanaoaminikatika yeye kunaongelewa kana kwamba ni mchungaji wa kondoo.
|
|
|
|
# kwa damu ya agano la milele
|
|
|
|
"Damu" hapa linasimama kwa kifo cha Yesu, ambacho ni msing kwa agano ambalo litakalodumu milele kati ya Mungu na waumini katika Kristo.
|
|
|
|
# kuwakamilisha katika kufanya kila jambo jema ili kufanya mapenzi yake
|
|
|
|
"kuwakamilisha" hapa inamaanisha kuwafanya "kuweza" au "kuwafundisha"
|
|
|
|
# afanye kazi ndani yetu
|
|
|
|
Neno hili "yetu" inamaanisha kwa mwandishi na wasomaji wake.
|
|
|
|
# kwake uwe utukufu milele na milele
|
|
|
|
ambaye watu wote watamsifu milele
|