sw_tn/heb/12/09.md

863 B

baba katika mwili

Neno "mwili" hapa linamaanisha mwanadamu.

kama warudiaji/ wanaotunidhamisha

wanao turudi

Je hatupaswi hata zaidi kumtii Baba wa kiroho na kuishi?

Mwandishi anatumia swali kusisitiza kwamba wangeweza kumtii Mungu Baba,

na ishi

"ili kwamba tuishi"

Baba wa roho

"Baba yetu wa kiroho" au Baba yetu wa mbinguni"

ili tushiriki utakatifu wake

"ili kwamba tuwe watakatifu kama Mungu alivyo mtakatifu"

tunda la amani

"Tunda" hapa ni alama na inaongelewa kana kwamba ni mtu aliye katika amani na ambaye alileta amani kwa wengine.

tunda la utauwa

Utauwa, ni hali ya mtu anaye mtii Mungu, inaongelewa kana kwamba ni tunda linakuwa juu ya mti. Mwandishi hapa anasema kwamba utauwa unaongezeka kama matokeo ya kurudiwa.

wale waliofundishwa nayo

"wale walio fundishwa kwa kurudiwa." Ambao Mungu amewafundisha kwa kuwarudi."